Trilion 1.15 Kujenga Shule Za Msingi Na Madarasa Mapya
Serikali imetenga jumla ya Shilingi Trillion 1.15 kwa ajili ya kujenga shule mpya za msingi na madarasa mapya kwa kipindi cha miaka 5 ambapo kwa mwaka huu wa fedha Shule 302 mpya za msingi na madarasa zaidi ya 3000 zimejengwa.
Naibu…