×

Vijana Wenye Ndoto za Masoko, Hii Ndio Nafasi Yenu Global TV

FURSA YA INTERNSHIP – SALES & MARKETING  GLOBAL TV ONLINE inawakaribisha vijana wenye ndoto za kujenga taaluma katika eneo la...

READ MORE

Katambi: Tanzania Haina Ugaidi, Lakini Kuna Viashiria vya Matendo ya Kigaidi

Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Patrobas Katambi, ametoa ufafanuzi kuhusu taarifa zinazozunguka kwenye mitandao ya kijamii, akisema baadhi...

READ MORE

Yanga Yamweka Depu Sokoni, Shalulile Atajwa Kuchukua Nafasi Yake

Tetesi za usajili zinaendelea kushika kasi zikidai kuwa Klabu ya Yanga inafikiria kumuuza mshambuliaji wake, Laurindo Dilson Maria Aurélio ‘Depu’,...

READ MORE

Sekretarieti ya Ajira Yatangaza Nafasi 160 za Kazi Serikalini

Katibu wa Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma, kwa niaba ya Wizara, Idara na Taasisi za Serikali (MDAs), ametangaza...

READ MORE

Zelensky Amwaga Sifa kwa Trump Baada ya Mkutano wa Kihistoria White House

Rais wa Ukraine, Volodymyr Zelensky amesema amekuwa na mazungumzo yenye mafanikio na Rais wa Marekani, Donald Trump, ambapo Marekani imekubali...

READ MORE

Shigongo Cup 2026 Kuanza Rasmi Leo Buchosa, Iligamba vs Kanyala Kufungua Pazia, Ratiba Ipo Hapa

Mashindano ya Shigongo Cup 2026 yanatarajiwa kuanza rasmi leo, Jumatano Julai 29, 2026, kwa mchezo wa ufunguzi utakaowakutanisha Iligamba FC...

READ MORE

Filamu ya ‘I’M STILL HERE’ Yaweka Rekodi Mpya, Yavuka Milioni 1 kwa Siku Mbili

Mashabiki wa filamu za Nollywood wamepata burudani mpya kupitia filamu “I’M STILL HERE”, drama ya kimapenzi iliyotikisa YouTube baada ya...

READ MORE

Kama Unapenda Sinema, Hizi Ndizo Filamu 7 Usizopaswa Kukosa 2026

MWAKA 2026 umeendelea kuwapa mashabiki wa filamu kazi zenye ubunifu mkubwa kutoka kwa waongozaji mahiri duniani. Kuanzia drama za kihistoria,...

READ MORE

Matunda 4 Yanayosaidia Kupunguza Presha, Daktari Afunguka

Afya ya moyo inahusishwa kwa kiasi kikubwa na aina ya vyakula tunavyokula kila siku. Kwa watu wenye tatizo la shinikizo...

READ MORE

FIFA Yajitetea Baada ya Lawama za Kombe la Dunia, Infantino Awashukia Wakosoaji

Rais wa Shirikisho la Soka Duniani (FIFA), Gianni Infantino, amewashukia wakosoaji wa Kombe la Dunia akisema baadhi yao walikuwa wakieneza...

READ MORE

Netanyahu Akutana na Trump White House, Iran Yatawala Mazungumzo

Waziri Mkuu wa Israel, Benjamin Netanyahu, amewasili Ikulu ya White House mjini Washington kwa mazungumzo ya ana kwa ana na...

READ MORE

COSOTA Yatoa Leseni kwa TAVIC Kukusanya na Kugawa Mirabaha ya Wasanii – Video

Shirika la Hakimiliki Tanzania (COSOTA) limetoa leseni rasmi kwa Kampuni ya Tanzania Audio Visual Collecting Society (TAVIC) kuwa chombo cha...

READ MORE

Cardi B Afichua Kwa Nini Hataki Kubaki Single Maisha Yake Yote

Rapa maarufu wa Marekani, Cardi B, amewajibu mashabiki wanaomtaka aendelee kuwa single na kujikita katika maisha yake binafsi, akisema hana...

READ MORE

Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo Julai 29, 2026

Nafasi za kazi kila siku Tanzania, Serikalini, Makampuni na Taasisi mbalimbali tembelea website yetu ya Global Publishers muda wote bonyeza hapa...

READ MORE

Italia Yamrudisha Shujaa wa Euro 2020, Roberto Mancini Aandika Historia Mpya

Kocha mwenye uzoefu, Roberto Mancini, anatarajiwa kurejea kuinoa timu ya taifa ya Italia baada ya kufikia makubaliano ya kuiongoza tena...

READ MORE

Video: Waziri wa Ulinzi wa Israel Atoa Kauli Nzito Kuhusu Mashambulizi ya Iran

Waziri wa Ulinzi wa Israel, Israel Katz, amesema ndege za kijeshi za Marekani zilitumia baadhi ya vituo vya kijeshi vya...

READ MORE

Rais Samia Akutana na Balozi wa China, Apokea Ujumbe wa Xi Jinping

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, amepokea salamu maalum kutoka kwa Rais wa Jamhuri ya...

READ MORE

Simu 10 Zenye Kamera Bora Zaidi Duniani Mwaka 2026

Teknolojia ya kamera kwenye simu imepiga hatua kubwa kiasi kwamba kwa watu wengi simu za kisasa zimeanza kuchukua nafasi ya...

READ MORE

Zelenskyy Kukutana na Trump Ikulu ya Marekani Kabla ya Mazishi ya Seneta Lindsey Graham

Rais wa Ukraine, Volodymyr Zelenskyy, anatarajiwa kukutana na Rais wa Marekani Donald Trump katika Ikulu ya White House kabla ya...

READ MORE

Mwanasheria Atoa Ufafanuzi Kuhusu Sheria ya Ugaidi Nchini – Video

Mwanasheria Nathaniel Samson amesema sheria ya ugaidi nchini Tanzania si jambo jipya, bali imekuwepo kwa muda mrefu kwa mujibu wa...

READ MORE